34 Na katika jambo hilo kukawa na kisababishi cha dhambi kwa nyumba ya Yeroboamu+ nayo ikawa sababu ya kuwafutilia mbali na kuwaangamiza kutoka katika uso wa nchi.+
11 Kisha mfalme wa Ashuru+ akapeleka Israeli uhamishoni+ katika Ashuru, akawakalisha katika Hala+ na katika Habori+ kando ya mto Gozani na katika majiji ya Wamedi,+