Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 75:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Kwa maana Mungu ndiye mwamuzi.+

      Humshusha huyu, na kumwinua yule.+

  • Isaya 14:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Kwa maana Yehova wa majeshi mwenyewe ametoa shauri,+ na ni nani anayeweza kulivunja?+ Na mkono wake umenyooshwa, na ni nani anayeweza kuurudisha nyuma?+

  • Isaya 49:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Na wafalme watakuwa watunzaji kwa ajili yako,+ na binti zao wa kifalme watakuwa wanawake wenye kutunza kwa ajili yako.+ Watakuinamia wewe kifudifudi, nao watayaramba mavumbi ya miguu yako;+ nawe utajua kwamba mimi ni Yehova, ambaye wale wanaonitumaini mimi hawataona aibu.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki