Ayubu 12:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Tazama! Yeye hubomoa, ili pasiwe na ujenzi;+Yeye huifunga kwa ajili ya mwanadamu, ili isifunguliwe.+ Ayubu 19:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Amezuia pito langu kwa ukuta wa mawe,+ nami siwezi kupita;Naye anaweka giza katika barabara zangu.+ Maombolezo 3:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Amezuia njia zangu kwa mawe yaliyochongwa.+ Amepotosha barabara zangu.+ Hosea 2:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “Kwa sababu hiyo ninazungushia njia yako ukuta wa miiba; nami nitasimamisha ukuta wa mawe juu yake,+ ili asipate kuona barabara zake.+
14 Tazama! Yeye hubomoa, ili pasiwe na ujenzi;+Yeye huifunga kwa ajili ya mwanadamu, ili isifunguliwe.+
8 Amezuia pito langu kwa ukuta wa mawe,+ nami siwezi kupita;Naye anaweka giza katika barabara zangu.+
6 “Kwa sababu hiyo ninazungushia njia yako ukuta wa miiba; nami nitasimamisha ukuta wa mawe juu yake,+ ili asipate kuona barabara zake.+