Ayubu 3:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Kwa nini anampa nuru mwanamume, ambaye njia yake imefichwa,+Na ambaye Mungu anamzungushia ukuta?+ Zaburi 88:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Umewaweka rafiki zangu mbali nami;+Umeniweka kuwa kama kitu chenye kuchukiza sana kwao.+Niko chini ya kizuizi wala siwezi kwenda.+ Maombolezo 3:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Amenizuia kana kwamba kwa ukuta wa mawe, ili nisiweze kutoka.+ Amefanya pingu zangu za shaba+ ziwe nzito.
8 Umewaweka rafiki zangu mbali nami;+Umeniweka kuwa kama kitu chenye kuchukiza sana kwao.+Niko chini ya kizuizi wala siwezi kwenda.+
7 Amenizuia kana kwamba kwa ukuta wa mawe, ili nisiweze kutoka.+ Amefanya pingu zangu za shaba+ ziwe nzito.