Zaburi 22:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Mungu wangu, Mungu wangu, kwa nini umeniacha?+Kwa nini uko mbali usiniokoe,+Mbali na maneno ya mngurumo wangu?+ Zaburi 38:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Nimekufa ganzi na kupondwa kupita kiasi;Nimenguruma kwa sababu ya kuugua kwa moyo wangu.+ Isaya 59:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Tunaendelea kuugua, sisi sote, kama dubu; nasi tunaendelea kulia kwa huzuni kama njiwa.+ Tuliendelea kutumaini kupata haki,+ lakini hapakuwa na yoyote; kutumaini kupata wokovu, lakini umekaa mbali nasi.+
22 Mungu wangu, Mungu wangu, kwa nini umeniacha?+Kwa nini uko mbali usiniokoe,+Mbali na maneno ya mngurumo wangu?+
11 Tunaendelea kuugua, sisi sote, kama dubu; nasi tunaendelea kulia kwa huzuni kama njiwa.+ Tuliendelea kutumaini kupata haki,+ lakini hapakuwa na yoyote; kutumaini kupata wokovu, lakini umekaa mbali nasi.+