Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 21:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Mweza-Yote ana thamani gani, ndipo tumtumikie,+

      Nasi tunajifaidi jinsi gani kwa kuwa tumewasiliana naye?’+

  • Ayubu 33:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kwa nini ulishindana naye,+

      Kwa sababu hajibu maneno yako yote?+

  • Isaya 45:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Ole wake yeye ambaye ameshindana na Mfanyizaji wake,+ kama kigae cha udongo na vigae vingine vya udongo! Je, udongo+ umwambie mfanyizaji wake: “Wewe hutengeneza nini?” Na kitu ulichotengeneza kiseme: “Yeye hana mikono”?

  • Ufunuo 4:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Na kwa habari ya wale viumbe hai wanne,+ kila mmoja wao ana mabawa sita;+ kuzunguka pande zote na chini yao wamejaa macho.+ Nao hawapumziki mchana na usiku huku wakisema: “Mtakatifu, mtakatifu, mtakatifu ni Yehova+ Mungu, Mweza-Yote,+ aliyekuwako+ na aliyeko na anayekuja.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki