Zaburi 40:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Nilimtumainia Yehova kwa bidii,+Kwa hiyo akanitegea sikio lake na kusikia kilio changu cha kuomba msaada.+ Zaburi 142:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Mbele zake niliendelea kumwaga hangaiko langu;+Mbele zake niliendelea kutangaza juu ya taabu yangu mwenyewe,+ Luka 18:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Ndipo akaendelea kuwaambia mfano juu ya uhitaji wao wa kusali sikuzote bila kukata tamaa,+
40 Nilimtumainia Yehova kwa bidii,+Kwa hiyo akanitegea sikio lake na kusikia kilio changu cha kuomba msaada.+
2 Mbele zake niliendelea kumwaga hangaiko langu;+Mbele zake niliendelea kutangaza juu ya taabu yangu mwenyewe,+