Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 18:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Katika taabu yangu niliendelea kumwita Yehova,

      Nami niliendelea kumlilia Mungu wangu kwa ajili ya msaada.+

      Kutoka katika hekalu lake aliisikia sauti yangu,+

      Nacho kilio changu cha msaada mbele zake sasa kikafika masikioni mwake.+

  • Yona 2:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Nafsi yangu ilipozimia ndani yangu,+ Yehova Ndiye niliyemkumbuka.+

      Ndipo sala yangu ikaingia kwako, ndani ya hekalu lako takatifu.+

  • Marko 15:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Na saa tisa Yesu akapaaza kilio kwa sauti kubwa: “Eli, Eli, lama sabakthani?” maneno ambayo yanapotafsiriwa humaanisha: “Mungu wangu, Mungu wangu, kwa nini umeniacha?”+

  • Waebrania 5:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Katika siku za mwili wake wenye nyama Kristo alitoa dua na pia maombi+ kwa Yule aliyekuwa na uwezo wa kumwokoa kutoka katika kifo, pamoja na vilio vyenye nguvu+ na machozi, naye akasikiwa vizuri kwa sababu ya kumwogopa+ Mungu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki