Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 1:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Usimdhanie kijakazi wako kuwa mwanamke asiyefaa kitu,+ kwa maana ni kutokana na wingi wa mahangaiko yangu na usumbufu wangu kwamba nimesema mpaka sasa.”+

  • Isaya 26:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Ee Yehova, wakati wa taabu wamekuelekezea fikira zao;+ wametoa mnong’ono wa sala walipopata nidhamu+ yako.

  • Mathayo 26:39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 Naye akasonga mbele kidogo, akaanguka kifudifudi, akasali+ na kusema: “Baba yangu, ikiwezekana, kikombe hiki+ na kipitilie mbali kutoka kwangu. Lakini, si kulingana na mapenzi yangu,+ bali kulingana na mapenzi yako.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki