16 Usimdhanie kijakazi wako kuwa mwanamke asiyefaa kitu,+ kwa maana ni kutokana na wingi wa mahangaiko yangu na usumbufu wangu kwamba nimesema mpaka sasa.”+
39 Naye akasonga mbele kidogo, akaanguka kifudifudi, akasali+ na kusema: “Baba yangu, ikiwezekana, kikombe hiki+ na kipitilie mbali kutoka kwangu. Lakini, si kulingana na mapenzi yangu,+ bali kulingana na mapenzi yako.”+