Ayubu 7:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Wingu kwa hakika hufikia mwisho wake na kwenda zake;Ndivyo ambavyo yeye anayeshuka katika Kaburi* hatapanda juu.+ Ayubu 14:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Lakini mwanamume hufa na kulala akiwa ameshindwa;Na mtu wa udongo hukata pumzi, naye yuko wapi?+ Mhubiri 12:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Pia, wameogopa chochote kilicho juu, na kuna vitisho njiani. Nao mti unaozaa lozi hutoa maua,+ naye panzi hujikokota, na pilipili hupasuka, kwa sababu mwanadamu anakwenda kwenye nyumba yake ya muda mrefu,+ nao waombolezaji wamezunguka barabarani;+
9 Wingu kwa hakika hufikia mwisho wake na kwenda zake;Ndivyo ambavyo yeye anayeshuka katika Kaburi* hatapanda juu.+
5 Pia, wameogopa chochote kilicho juu, na kuna vitisho njiani. Nao mti unaozaa lozi hutoa maua,+ naye panzi hujikokota, na pilipili hupasuka, kwa sababu mwanadamu anakwenda kwenye nyumba yake ya muda mrefu,+ nao waombolezaji wamezunguka barabarani;+