Ayubu 7:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Siku zangu zimepita upesi+ kuliko chombo cha mfumaji,Nazo hufikia mwisho katika hali ya ukosefu wa tumaini.+ Ayubu 9:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Pia siku zangu zimeenda upesi kuliko mkimbiaji;+Zimekimbia, hakika hazitaona mema. Isaya 38:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Mimi nilisema: “Katikati ya siku zangu nitaingia katika malango+ ya Kaburi.*Nitanyimwa mabaki+ ya miaka yangu.”
6 Siku zangu zimepita upesi+ kuliko chombo cha mfumaji,Nazo hufikia mwisho katika hali ya ukosefu wa tumaini.+
10 Mimi nilisema: “Katikati ya siku zangu nitaingia katika malango+ ya Kaburi.*Nitanyimwa mabaki+ ya miaka yangu.”