27 Kwa maana hilo ndilo vazi pekee la kujifunika alilo nalo.+ Ndiyo nguo yake ya kujitanda ili kuifunika ngozi yake. Atalalia nini? Na itakuwa kwamba atanililia, nami hakika nitasikia, kwa sababu mimi ni mwenye neema.+
13 Kwa vyovyote unapaswa kumrudishia rehani hiyo mara tu baada ya jua kutua,+ naye ataenda kulala na vazi lake,+ naye atakubariki;+ nalo hilo litamaanisha uadilifu kwako mbele za Yehova Mungu wako.+