Zaburi 49:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kama kondoo, wao wamewekewa Kaburi;*+Kifo chenyewe kitawachunga;+Nao wanyoofu watawatawala asubuhi,+Nayo maumbo yao hayatakosa kuchakaa;+Kaburi* badala ya makao yaliyo juu ni kwa ajili ya kila mmoja.+ Zaburi 55:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Ukiwa na uwe juu yao!+Na washuke katika Kaburi* wakiwa hai;+Kwa maana wakati wao wa kukaa ugenini mambo mabaya yamekuwa ndani yao.+ Luka 12:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Lakini Mungu akamwambia, ‘Wewe usiye na akili, usiku huu wanadai nafsi yako kutoka kwako.+ Basi, vitu ulivyoviweka akiba vitakuwa vya nani?’+
14 Kama kondoo, wao wamewekewa Kaburi;*+Kifo chenyewe kitawachunga;+Nao wanyoofu watawatawala asubuhi,+Nayo maumbo yao hayatakosa kuchakaa;+Kaburi* badala ya makao yaliyo juu ni kwa ajili ya kila mmoja.+
15 Ukiwa na uwe juu yao!+Na washuke katika Kaburi* wakiwa hai;+Kwa maana wakati wao wa kukaa ugenini mambo mabaya yamekuwa ndani yao.+
20 Lakini Mungu akamwambia, ‘Wewe usiye na akili, usiku huu wanadai nafsi yako kutoka kwako.+ Basi, vitu ulivyoviweka akiba vitakuwa vya nani?’+