Kumbukumbu la Torati 32:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Yeye Mwamba, kazi zake ni kamilifu,+Kwa maana njia zake zote ni haki.+Mungu wa uaminifu,+ ambaye hana ukosefu wowote wa haki;+Yeye ni mwadilifu na mnyoofu.+ Kumbukumbu la Torati 32:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Aliendelea kumfanya apande juu ya mahali pa juu pa dunia,+Hivi kwamba akala mazao ya shamba.+Naye akaendelea kumfanya anyonye asali kutoka katika mwamba,+Na mafuta kutoka katika jiwe gumu;+ Kumbukumbu la Torati 33:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Naye akamwambia Asheri:+“Aliyebarikiwa na wana ni Asheri.+Na awe aliyekubaliwa na ndugu zake,+Na yule anayechovya mguu wake katika mafuta.+
4 Yeye Mwamba, kazi zake ni kamilifu,+Kwa maana njia zake zote ni haki.+Mungu wa uaminifu,+ ambaye hana ukosefu wowote wa haki;+Yeye ni mwadilifu na mnyoofu.+
13 Aliendelea kumfanya apande juu ya mahali pa juu pa dunia,+Hivi kwamba akala mazao ya shamba.+Naye akaendelea kumfanya anyonye asali kutoka katika mwamba,+Na mafuta kutoka katika jiwe gumu;+
24 Naye akamwambia Asheri:+“Aliyebarikiwa na wana ni Asheri.+Na awe aliyekubaliwa na ndugu zake,+Na yule anayechovya mguu wake katika mafuta.+