Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 32:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Yeye Mwamba, kazi zake ni kamilifu,+

      Kwa maana njia zake zote ni haki.+

      Mungu wa uaminifu,+ ambaye hana ukosefu wowote wa haki;+

      Yeye ni mwadilifu na mnyoofu.+

  • Kumbukumbu la Torati 32:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Aliendelea kumfanya apande juu ya mahali pa juu pa dunia,+

      Hivi kwamba akala mazao ya shamba.+

      Naye akaendelea kumfanya anyonye asali kutoka katika mwamba,+

      Na mafuta kutoka katika jiwe gumu;+

  • Kumbukumbu la Torati 33:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Naye akamwambia Asheri:+

      “Aliyebarikiwa na wana ni Asheri.+

      Na awe aliyekubaliwa na ndugu zake,+

      Na yule anayechovya mguu wake katika mafuta.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki