1 Samweli 4:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Basi yule mleta-habari akajibu na kusema: “Israeli wamekimbia mbele ya Wafilisti, na pia watu wameshindwa vibaya sana;+ hata wana wako wawili wamekufa pia—Hofni na Finehasi+—nalo sanduku la Mungu wa kweli limetekwa.”+ Danieli 5:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Usiku huohuo Belshaza mfalme Mkaldayo akauawa,+
17 Basi yule mleta-habari akajibu na kusema: “Israeli wamekimbia mbele ya Wafilisti, na pia watu wameshindwa vibaya sana;+ hata wana wako wawili wamekufa pia—Hofni na Finehasi+—nalo sanduku la Mungu wa kweli limetekwa.”+