Zaburi 10:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa maana wewe mwenyewe umeona taabu na masumbufu.Unaendelea kutazama, uyatie katika mkono wako.+Mtu mwenye taabu,+ mvulana asiye na baba, anajikabidhi kwako.Wewe mwenyewe umekuwa msaidizi wake.+ Zaburi 140:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Najua vema kwamba Yehova atatimiza+Dai halali la mwenye kuteseka, hukumu ya maskini.+ Methali 22:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Kwa maana Yehova mwenyewe atatetea kesi yao,+ naye hakika atawanyang’anya nafsi wale wanaowanyang’anya.+
14 Kwa maana wewe mwenyewe umeona taabu na masumbufu.Unaendelea kutazama, uyatie katika mkono wako.+Mtu mwenye taabu,+ mvulana asiye na baba, anajikabidhi kwako.Wewe mwenyewe umekuwa msaidizi wake.+
23 Kwa maana Yehova mwenyewe atatetea kesi yao,+ naye hakika atawanyang’anya nafsi wale wanaowanyang’anya.+