Ayubu 34:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Wanakufa ghafula,+ katikati ya usiku;+Watu huyumba-yumba na kupitilia mbali,Na wenye nguvu huondolewa pasipo mkono wa mtu.+ Zaburi 33:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Hakuna mfalme anayeokolewa kwa wingi wa majeshi yake;+Mtu mwenye nguvu haokolewi kwa wingi wa nguvu.+ Methali 11:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Vitu vyenye thamani havitakuwa na faida yoyote siku ya ghadhabu,+ lakini uadilifu utakomboa kutoka katika kifo.+
20 Wanakufa ghafula,+ katikati ya usiku;+Watu huyumba-yumba na kupitilia mbali,Na wenye nguvu huondolewa pasipo mkono wa mtu.+
16 Hakuna mfalme anayeokolewa kwa wingi wa majeshi yake;+Mtu mwenye nguvu haokolewi kwa wingi wa nguvu.+
4 Vitu vyenye thamani havitakuwa na faida yoyote siku ya ghadhabu,+ lakini uadilifu utakomboa kutoka katika kifo.+