Kutoka 15:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ni nani kati ya miungu aliye kama wewe, Ee Yehova?+Ni nani aliye kama wewe, unayejionyesha kuwa mwenye nguvu katika utakatifu?+Unayestahili kuogopwa+ kwa nyimbo za sifa,+ Unayefanya mambo ya ajabu.+ Zaburi 71:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Uadilifu wako, Ee Mungu, unafika kileleni;+Na kuhusu mambo makuu ambayo umeyafanya,+Ee Mungu, ni nani aliye kama wewe?+
11 Ni nani kati ya miungu aliye kama wewe, Ee Yehova?+Ni nani aliye kama wewe, unayejionyesha kuwa mwenye nguvu katika utakatifu?+Unayestahili kuogopwa+ kwa nyimbo za sifa,+ Unayefanya mambo ya ajabu.+
19 Uadilifu wako, Ee Mungu, unafika kileleni;+Na kuhusu mambo makuu ambayo umeyafanya,+Ee Mungu, ni nani aliye kama wewe?+