Zaburi 18:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Alikuwa akinikomboa kutoka kwa adui yangu mwenye nguvu,+Na kutoka kwa wale wanaonichukia; kwa sababu walikuwa na nguvu kuliko mimi.+ Zaburi 37:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Na Yehova atawasaidia na kuwaokoa.+Atawaponya kutoka kwa watu waovu na kuwaokoa,+Kwa sababu wamemkimbilia yeye.+
17 Alikuwa akinikomboa kutoka kwa adui yangu mwenye nguvu,+Na kutoka kwa wale wanaonichukia; kwa sababu walikuwa na nguvu kuliko mimi.+
40 Na Yehova atawasaidia na kuwaokoa.+Atawaponya kutoka kwa watu waovu na kuwaokoa,+Kwa sababu wamemkimbilia yeye.+