Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 16:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Mtu mwenye hila huendelea kutokeza ugomvi nyakati zote,+ na mchongezi anawatenganisha wale wanaofahamiana.+

  • Waroma 1:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 wakiwa wamejawa na ukosefu wote wa uadilifu,+ uovu,+ tamaa,+ ubaya,+ wakiwa wamejaa wivu,+ uuaji,+ mizozo,+ udanganyifu,+ mwelekeo wenye madhara,+ wakiwa wanong’onezaji,+

  • 2 Wakorintho 12:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Kwa maana naogopa kwamba kwa njia fulani, nitakapofika,+ huenda nikawapata ninyi mkiwa vile ambavyo mimi sipendi nami niwe kwenu vile ambavyo ninyi hampendi, bali, badala yake, kwa njia fulani inaelekea kutakuwa na mizozo, wivu,+ milipuko ya hasira, magomvi, masengenyo, manong’onezo, majivuno, machafuko.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki