Zaburi 20:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Yehova na akujibu siku ya taabu.+Jina la Mungu wa Yakobo na likulinde.+ Zaburi 79:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Utusaidie, Ee Mungu wa wokovu wetu,+Kwa ajili ya utukufu wa jina lako;+Na utukomboe na kufunika dhambi zetu kwa sababu ya jina lako.+ Methali 18:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Jina la Yehova ni mnara wenye nguvu.+ Mwadilifu hukimbilia humo na kupewa ulinzi.+
9 Utusaidie, Ee Mungu wa wokovu wetu,+Kwa ajili ya utukufu wa jina lako;+Na utukomboe na kufunika dhambi zetu kwa sababu ya jina lako.+