Zaburi 66:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 66 Mpigieni Mungu kelele za ushindi, enyi nyote watu wa dunia.+ Zaburi 98:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Yehova amefanya wokovu wake ujulikane;+Ameufunua uadilifu wake machoni pa mataifa.+ Isaya 49:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Naye akasema: “Limekuwa si jambo dogo kwako kuwa mtumishi wangu ili kuyainua makabila ya Yakobo na kuwarudisha hata waliolindwa wa Israeli;+ mimi pia nimekutoa uwe nuru ya mataifa,+ ili wokovu wangu ufike katika sehemu ya mwisho ya dunia.”+ Luka 2:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 kwa sababu macho yangu yameona njia yako ya kuokoa+ Matendo 28:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kwa hiyo jueni kwamba njia hii ambayo Mungu anaitumia kuokoa, imepelekwa nje kwa mataifa;+ wao hakika wataisikiliza.”+ Tito 2:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa maana fadhili zisizostahiliwa+ za Mungu zinazowaletea watu wa namna zote+ wokovu+ zimeonyeshwa,+
6 Naye akasema: “Limekuwa si jambo dogo kwako kuwa mtumishi wangu ili kuyainua makabila ya Yakobo na kuwarudisha hata waliolindwa wa Israeli;+ mimi pia nimekutoa uwe nuru ya mataifa,+ ili wokovu wangu ufike katika sehemu ya mwisho ya dunia.”+
28 Kwa hiyo jueni kwamba njia hii ambayo Mungu anaitumia kuokoa, imepelekwa nje kwa mataifa;+ wao hakika wataisikiliza.”+
11 Kwa maana fadhili zisizostahiliwa+ za Mungu zinazowaletea watu wa namna zote+ wokovu+ zimeonyeshwa,+