Mathayo 17:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Siku sita baadaye Yesu aliwachukua Petro na Yakobo na Yohana ndugu yake akawapandisha katika mlima mrefu wakiwa peke yao.+ Marko 9:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Basi siku sita baadaye Yesu akawachukua Petro na Yakobo na Yohana pamoja naye, akawapandisha katika mlima mrefu wakiwa peke yao. Sura yake ikageuka mbele yao,+ 2 Petro 1:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Ndiyo, maneno hayo tuliyasikia+ yakitoka mbinguni tulipokuwa tungali pamoja naye katika ule mlima mtakatifu.+
17 Siku sita baadaye Yesu aliwachukua Petro na Yakobo na Yohana ndugu yake akawapandisha katika mlima mrefu wakiwa peke yao.+
2 Basi siku sita baadaye Yesu akawachukua Petro na Yakobo na Yohana pamoja naye, akawapandisha katika mlima mrefu wakiwa peke yao. Sura yake ikageuka mbele yao,+
18 Ndiyo, maneno hayo tuliyasikia+ yakitoka mbinguni tulipokuwa tungali pamoja naye katika ule mlima mtakatifu.+