Zaburi 25:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Utimilifu na unyoofu na zinilinde,+Kwa maana nimekutumainia wewe.+ Zaburi 119:82 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 82 Macho yangu yamedhoofika kwa kutamani maneno yako,+Huku mimi nikisema: “Utanifariji wakati gani?”+ Zaburi 119:123 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 123 Macho yangu yamedhoofika kwa ajili ya wokovu wako+Na kwa ajili ya neno lako la uadilifu.+ Isaya 38:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kama barawai, teleka, ndivyo ninavyoendelea kulia;+Ninaendelea kulia kama njiwa.+ Macho yangu yametazama kwa udhaifu kileleni:+‘Ee Yehova, ninakandamizwa. Simama upande wangu.’+
82 Macho yangu yamedhoofika kwa kutamani maneno yako,+Huku mimi nikisema: “Utanifariji wakati gani?”+
14 Kama barawai, teleka, ndivyo ninavyoendelea kulia;+Ninaendelea kulia kama njiwa.+ Macho yangu yametazama kwa udhaifu kileleni:+‘Ee Yehova, ninakandamizwa. Simama upande wangu.’+