Zaburi 22:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Lakini mimi ni mdudu,+ wala si mtu,Shutuma kwa wanadamu na mwenye kudharaulika kwa watu.+ Zaburi 44:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Lakini kwa ajili yako tumeuawa mchana kutwa;Tumehesabiwa kuwa kondoo wa kuchinjwa.+ Yeremia 15:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Wewe mwenyewe umejua.+ Ee Yehova, nikumbuke+ na unikazie fikira zako na kulipiza kisasi juu ya watesaji wangu.+ Usiniondolee mbali katika upole wako wa hasira.+ Angalia kwamba ninachukua shutuma kwa ajili yako.+ Mathayo 5:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “Wenye furaha ni ninyi wakati watu wanapowashutumu+ na kuwatesa+ na kusema kwa uwongo kila namna ya jambo baya juu yenu kwa ajili yangu.
15 Wewe mwenyewe umejua.+ Ee Yehova, nikumbuke+ na unikazie fikira zako na kulipiza kisasi juu ya watesaji wangu.+ Usiniondolee mbali katika upole wako wa hasira.+ Angalia kwamba ninachukua shutuma kwa ajili yako.+
11 “Wenye furaha ni ninyi wakati watu wanapowashutumu+ na kuwatesa+ na kusema kwa uwongo kila namna ya jambo baya juu yenu kwa ajili yangu.