Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 19:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Ndugu zangu amewaweka mbali sana nami,+

      Na wale wanaonijua hata wamejitenga nami.

  • Zaburi 31:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Nimekuwa shutuma+ kwa wale wote wanaonionyesha uadui,+

      Na nimekuwa hivyo hata zaidi kwa jirani zangu,+

      Na kitu chenye kutia hofu kwa rafiki zangu.+

      Wakati wanaponiona nje, wamenikimbia.+

  • Mathayo 26:56
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 56 Lakini yote haya yametukia ili maandiko ya manabii yatimizwe.”+ Ndipo wanafunzi wote wakamwacha na kukimbia.+

  • Yohana 1:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Alikuja nyumbani kwake mwenyewe, lakini watu wake mwenyewe hawakumkaribisha.+

  • Yohana 7:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Kwa kweli, ndugu+ zake walikuwa hawamwamini.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki