Ayubu 19:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Ndugu zangu amewaweka mbali sana nami,+Na wale wanaonijua hata wamejitenga nami. Zaburi 31:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Nimekuwa shutuma+ kwa wale wote wanaonionyesha uadui,+Na nimekuwa hivyo hata zaidi kwa jirani zangu,+Na kitu chenye kutia hofu kwa rafiki zangu.+Wakati wanaponiona nje, wamenikimbia.+ Mathayo 26:56 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 56 Lakini yote haya yametukia ili maandiko ya manabii yatimizwe.”+ Ndipo wanafunzi wote wakamwacha na kukimbia.+ Yohana 1:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Alikuja nyumbani kwake mwenyewe, lakini watu wake mwenyewe hawakumkaribisha.+ Yohana 7:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa kweli, ndugu+ zake walikuwa hawamwamini.+
11 Nimekuwa shutuma+ kwa wale wote wanaonionyesha uadui,+Na nimekuwa hivyo hata zaidi kwa jirani zangu,+Na kitu chenye kutia hofu kwa rafiki zangu.+Wakati wanaponiona nje, wamenikimbia.+
56 Lakini yote haya yametukia ili maandiko ya manabii yatimizwe.”+ Ndipo wanafunzi wote wakamwacha na kukimbia.+