Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 2:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 “Mgawanyo wa makabila matatu wa kambi ya Efraimu+ kwa majeshi yao utakuwa kuelekea magharibi, na mkuu wa wana wa Efraimu ni Elishama+ mwana wa Amihudi.

  • Zaburi 35:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Uamke na ukae macho kwa ajili ya hukumu yangu,+

      Kwa ajili ya kesi yangu,+ Ee Mungu wangu, naam, Yehova.

  • Isaya 42:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Yehova mwenyewe atatokea kama mwanamume mwenye nguvu.+ Ataamsha bidii kama shujaa wa vita.+ Atapaaza sauti, ndiyo, atapiga kelele za vita;+ atajionyesha kuwa mwenye nguvu zaidi juu ya adui zake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki