21 Kwa maana wachungaji wamejiendesha bila kutumia akili,+ wala hawakumtafuta Yehova.+ Ndiyo sababu hawakutenda kwa ufahamu, na wanyama wao wote waliolishwa wametawanywa.”+
11 “Kwa maana ninyi mliendelea kushangilia,+ kwa maana mliendelea kufurahi mlipokuwa mkiupora urithi wangu.+ Kwa maana mliendelea kukanyaga kama ndama-jike katika majani mororo,+ nanyi mkaendelea kulia kama farasi-dume.+