Ayubu 19:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Mifupa yangu inashikamana na ngozi na nyama yangu,+Nami ninaponyoka na ngozi ya meno yangu. Methali 17:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Moyo wenye shangwe ni dawa nzuri,+ lakini roho iliyopondeka huikausha mifupa.+ Maombolezo 4:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Sura yao imekuwa nyeusi kuliko weusi wenyewe. Hawakutambuliwa barabarani.+Ngozi yao imekauka juu ya mifupa yao.+ Imekauka kama mti.
8 Sura yao imekuwa nyeusi kuliko weusi wenyewe. Hawakutambuliwa barabarani.+Ngozi yao imekauka juu ya mifupa yao.+ Imekauka kama mti.