14 “Hupaswi kumpunja mfanyakazi wa kukodiwa aliye katika taabu na aliye maskini, awe wa ndugu zako au wa wakaaji wageni wako walio katika nchi yako, ndani ya malango yako.+
4 Tazama! Mishahara iliyo haki ya wafanyakazi waliovuna mashamba yenu lakini ambayo mmeizuilia,+ inaendelea kupaaza kilio,+ na vilio vya kuomba msaada+ vya wavunaji vimeingia masikioni+ mwa Yehova wa majeshi.