Mwanzo 1:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mungu akaanza kuiita nuru Mchana,+ lakini giza akaliita Usiku.+ Ikawa jioni, ikawa asubuhi, siku ya kwanza. Zaburi 74:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Mchana ni wako; pia, usiku ni wako.+Wewe mwenyewe uliutayarisha mwanga, naam, jua.+ Isaya 45:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kufanyiza nuru+ na kuumba giza,+ kufanya amani+ na kuumba msiba,+ mimi, Yehova, ninafanya mambo hayo yote.+
5 Mungu akaanza kuiita nuru Mchana,+ lakini giza akaliita Usiku.+ Ikawa jioni, ikawa asubuhi, siku ya kwanza.
7 Kufanyiza nuru+ na kuumba giza,+ kufanya amani+ na kuumba msiba,+ mimi, Yehova, ninafanya mambo hayo yote.+