Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 1:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Mungu akaanza kuiita nuru Mchana,+ lakini giza akaliita Usiku.+ Ikawa jioni, ikawa asubuhi, siku ya kwanza.

  • Zaburi 74:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Mchana ni wako; pia, usiku ni wako.+

      Wewe mwenyewe uliutayarisha mwanga, naam, jua.+

  • Isaya 45:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kufanyiza nuru+ na kuumba giza,+ kufanya amani+ na kuumba msiba,+ mimi, Yehova, ninafanya mambo hayo yote.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki