Kutoka 20:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Mimi ni Yehova Mungu wako,+ ambaye nimekutoa katika nchi ya Misri, katika nyumba ya watumwa.+ Kumbukumbu la Torati 29:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 kwa kusudi la kukusimamisha wewe leo kuwa kikundi chake cha watu+ na kwamba yeye ajionyeshe kuwa Mungu wako,+ kama vile ambavyo amekuahidi wewe na kama vile ambavyo amewaapia mababu zako Abrahamu,+ Isaka+ na Yakobo.+ Yoshua 24:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Ndipo watu hao wakamwambia Yoshua: “Yehova, Mungu wetu, ndiye tutakayemtumikia, na sauti yake ndiyo tutakayoisikiliza!”+ Zaburi 100:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Jueni kwamba Yehova ni Mungu.+Yeye ndiye aliyetufanya, wala si sisi wenyewe.+Sisi ni watu wake na kondoo wa malisho yake.+
13 kwa kusudi la kukusimamisha wewe leo kuwa kikundi chake cha watu+ na kwamba yeye ajionyeshe kuwa Mungu wako,+ kama vile ambavyo amekuahidi wewe na kama vile ambavyo amewaapia mababu zako Abrahamu,+ Isaka+ na Yakobo.+
24 Ndipo watu hao wakamwambia Yoshua: “Yehova, Mungu wetu, ndiye tutakayemtumikia, na sauti yake ndiyo tutakayoisikiliza!”+
3 Jueni kwamba Yehova ni Mungu.+Yeye ndiye aliyetufanya, wala si sisi wenyewe.+Sisi ni watu wake na kondoo wa malisho yake.+