7 Yeye aliwapiga na kuwaua Waedomu+ katika Bonde la Chumvi,+ watu elfu kumi, akateka Sela katika vita hivyo, na jina lake likaitwa Yoktheeli mpaka leo hii.
3 Kimbelembele cha moyo wako ndicho kimekudanganya,+ wewe unayekaa katika makimbilio ya mwamba,+ kwenye kilele ambapo yeye hukaa, akisema moyoni mwake, ‘Ni nani atakayenishusha chini duniani?’