2 Samweli 17:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Nami nitamfikia wakati yeye amechoka na mikono yake ina unyonge,+ nami nitamtetemesha; na watu wote walio pamoja naye watakimbia, nami nitampiga na kumuua mfalme akiwa peke yake.+ Mathayo 18:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Haikukupasa wewe, nawe, kuwa na rehema+ juu ya mtumwa mwenzako, kama mimi pia nilivyokuwa na rehema+ juu yako?’ Yakobo 2:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa maana yeye asiye na mazoea ya kuonyesha rehema atapata hukumu yake bila rehema.+ Rehema hufurahi kwa njia ya ushindi juu ya hukumu.
2 Nami nitamfikia wakati yeye amechoka na mikono yake ina unyonge,+ nami nitamtetemesha; na watu wote walio pamoja naye watakimbia, nami nitampiga na kumuua mfalme akiwa peke yake.+
33 Haikukupasa wewe, nawe, kuwa na rehema+ juu ya mtumwa mwenzako, kama mimi pia nilivyokuwa na rehema+ juu yako?’
13 Kwa maana yeye asiye na mazoea ya kuonyesha rehema atapata hukumu yake bila rehema.+ Rehema hufurahi kwa njia ya ushindi juu ya hukumu.