Zaburi 19:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Sheria+ ya Yehova ni kamilifu,+ huirudisha nafsi.+Kikumbusho+ cha Yehova ni chenye kutegemeka,+ humfanya asiye na uzoefu awe na hekima.+ Zaburi 93:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Vikumbusho vyako vimekuwa vyenye kutegemeka sana.+Utakatifu unaifaa nyumba yako mwenyewe,+ Ee Yehova, kwa wingi wa siku.+ Zaburi 119:167 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 167 Nafsi yangu imeshika vikumbusho vyako,+Nami navipenda sana.+
7 Sheria+ ya Yehova ni kamilifu,+ huirudisha nafsi.+Kikumbusho+ cha Yehova ni chenye kutegemeka,+ humfanya asiye na uzoefu awe na hekima.+
5 Vikumbusho vyako vimekuwa vyenye kutegemeka sana.+Utakatifu unaifaa nyumba yako mwenyewe,+ Ee Yehova, kwa wingi wa siku.+