18 Na itatukia kwamba atakapoketi kwenye kiti chake cha ufalme, atajiandikia katika kitabu nakala ya sheria hii kutoka katika ile iliyo mkononi mwa makuhani Walawi.+
16 Andiko lote limeongozwa na roho ya Mungu+ nalo ni lenye faida kwa kufundisha,+ kwa kukaripia,+ kwa kunyoosha mambo,+ kwa kutia nidhamu+ katika uadilifu,