2 Samweli 7:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Na sasa, Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, wewe ndiye Mungu wa kweli; na maneno yako yawe kweli,+ kwa kuwa unamwahidi mtumishi wako wema huu.+ Zaburi 71:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwa sababu umenifanya nione taabu nyingi na misiba,+Unifufue tena;+Na unipandishe tena kutoka katika vilindi vya maji vya dunia.+ Zaburi 119:154 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 154 Uendeshe kesi yangu na kunikomboa;+Unihifadhi hai kulingana na neno lako.+ Zaburi 143:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa ajili ya jina lako,+ Ee Yehova, unihifadhi hai.+Katika uadilifu+ wako na uitoe nafsi yangu katika taabu.+
28 Na sasa, Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, wewe ndiye Mungu wa kweli; na maneno yako yawe kweli,+ kwa kuwa unamwahidi mtumishi wako wema huu.+
20 Kwa sababu umenifanya nione taabu nyingi na misiba,+Unifufue tena;+Na unipandishe tena kutoka katika vilindi vya maji vya dunia.+
11 Kwa ajili ya jina lako,+ Ee Yehova, unihifadhi hai.+Katika uadilifu+ wako na uitoe nafsi yangu katika taabu.+