Zaburi 37:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kwa maana mikono ya waovu itavunjwa,+Bali Yehova atakuwa anawategemeza watu waadilifu.+ Zaburi 41:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Nami, umenitegemeza kwa sababu ya utimilifu wangu,+Nawe utaniweka mbele za uso wako mpaka wakati usio na kipimo.+ Isaya 41:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Usiogope, kwa maana mimi nipo pamoja nawe.+ Usitazame huku na huku, kwa maana mimi ni Mungu wako.+ Nitakutia nguvu.+ Nitakusaidia kwelikweli.+ Nitakushika kwelikweli kwa mkono wangu wa kuume+ wa uadilifu.’+
12 Nami, umenitegemeza kwa sababu ya utimilifu wangu,+Nawe utaniweka mbele za uso wako mpaka wakati usio na kipimo.+
10 Usiogope, kwa maana mimi nipo pamoja nawe.+ Usitazame huku na huku, kwa maana mimi ni Mungu wako.+ Nitakutia nguvu.+ Nitakusaidia kwelikweli.+ Nitakushika kwelikweli kwa mkono wangu wa kuume+ wa uadilifu.’+