Zaburi 36:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Mguu wa majivuno usinijie;+Nao mkono wa watu waovu, usinifanye kuwa mtu wa kutanga-tanga.+ Zaburi 119:78 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 78 Wenye kimbelembele na waone aibu, kwa maana wamenipotosha bila sababu.+Bali mimi, najishughulisha na maagizo yako.+ Hosea 12:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Mfanya-biashara ana mizani ya udanganyifu mkononi mwake;+ amependa kupunja.+
78 Wenye kimbelembele na waone aibu, kwa maana wamenipotosha bila sababu.+Bali mimi, najishughulisha na maagizo yako.+