Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 9:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Usimame, Ee Yehova! Mwanadamu anayeweza kufa asiwe na nguvu zaidi.+

      Mataifa na yahukumiwe mbele za uso wako.+

  • Zaburi 102:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Wewe mwenyewe utasimama, utakuwa na rehema juu ya Sayuni,+

      Kwa maana ni majira ya kumwonyesha kibali,

      Kwa maana wakati uliowekwa umefika.+

  • Isaya 28:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Kwa maana Yehova atasimama kama katika Mlima Perasimu,+ atafadhaika kama katika nchi tambarare ya chini karibu na Gibeoni,+ ili afanye tendo lake​—​tendo lake ni la ajabu​—​na ili afanye kazi yake​—​kazi yake si ya kawaida.+

  • Yeremia 18:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Lakini wewe, Ee Yehova, unajua vema shauri lao lote juu yangu ili kuniua.+ Usilifunike kosa lao, wala usiifute ile dhambi yao kutoka mbele zako; bali wawe watu waliokwazwa mbele zako.+ Katika wakati wa hasira yako uwachukulie hatua.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki