Zaburi 1:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Bali mapendezi yake ni katika sheria ya Yehova,+Naye huisoma sheria yake kwa sauti ya chini mchana na usiku.+ Zaburi 119:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Nitazipenda sheria zako.+Sitalisahau neno lako.+
2 Bali mapendezi yake ni katika sheria ya Yehova,+Naye huisoma sheria yake kwa sauti ya chini mchana na usiku.+