Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 8:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Ndipo makuhani wakaliingiza ndani mahali pake lile sanduku+ la agano la Yehova, mpaka kwenye chumba cha ndani kabisa cha nyumba, pale Patakatifu Zaidi, mpaka chini ya mabawa ya wale makerubi.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 29:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Na kwa kuwa ninapendezwa+ na nyumba ya Mungu wangu, bado kuna mali yangu ya pekee,+ dhahabu na fedha; naitoa kwa ajili ya nyumba ya Mungu wangu, kuongezea vyote ambavyo nimetayarisha kwa ajili ya hiyo nyumba takatifu:+

  • Zaburi 26:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Yehova, nimependa makao ya nyumba yako+

      Na mahali ambapo utukufu wako hukaa.+

  • Zaburi 69:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Kwa maana bidii nyingi kwa ajili ya nyumba yako imenila,+

      Na shutuma za wale wanaokushutumu zimeniangukia.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki