6 Ndipo makuhani wakaliingiza ndani mahali pake lile sanduku+ la agano la Yehova, mpaka kwenye chumba cha ndani kabisa cha nyumba, pale Patakatifu Zaidi, mpaka chini ya mabawa ya wale makerubi.+
3 Na kwa kuwa ninapendezwa+ na nyumba ya Mungu wangu, bado kuna mali yangu ya pekee,+ dhahabu na fedha; naitoa kwa ajili ya nyumba ya Mungu wangu, kuongezea vyote ambavyo nimetayarisha kwa ajili ya hiyo nyumba takatifu:+