2 Basi watu wakaja na kumwambia Yehoshafati, wakisema: “Umati mkubwa umekuja kukushambulia kutoka katika eneo la bahari, kutoka Edomu;+ na, tazama, wako huko Hasason-tamari, yaani, En-gedi.”+
6 Lakini lilikuwa jambo la kudharaulika machoni pake kunyoosha mkono wake juu ya Mordekai peke yake, kwa maana walikuwa wamemwambia kuhusu watu wa Mordekai; kwa hiyo Hamani akaanza kutafuta kuwaangamiza+ Wayahudi wote waliokuwa katika utawala wote wa Ahasuero, watu wa Mordekai.+
34 “Nebukadreza mfalme wa Babiloni amenila;+ amenivuruga. Ameniweka kuwa kama chombo kitupu. Amenimeza kama nyoka mkubwa;+ amelijaza tumbo lake kwa vitu vyangu vyenye kupendeza. Amenioshea mbali.