Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 20:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Basi watu wakaja na kumwambia Yehoshafati, wakisema: “Umati mkubwa umekuja kukushambulia kutoka katika eneo la bahari, kutoka Edomu;+ na, tazama, wako huko Hasason-tamari, yaani, En-gedi.”+

  • Esta 3:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Lakini lilikuwa jambo la kudharaulika machoni pake kunyoosha mkono wake juu ya Mordekai peke yake, kwa maana walikuwa wamemwambia kuhusu watu wa Mordekai; kwa hiyo Hamani akaanza kutafuta kuwaangamiza+ Wayahudi wote waliokuwa katika utawala wote wa Ahasuero, watu wa Mordekai.+

  • Zaburi 27:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Watenda-maovu walipokuja karibu juu

      yangu ili wapate kuila nyama yangu,+

      Wao wakiwa ni wapinzani wangu na adui zangu,+

      Wao walijikwaa na kuanguka.+

  • Yeremia 51:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 “Nebukadreza mfalme wa Babiloni amenila;+ amenivuruga. Ameniweka kuwa kama chombo kitupu. Amenimeza kama nyoka mkubwa;+ amelijaza tumbo lake kwa vitu vyangu vyenye kupendeza. Amenioshea mbali.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki