Zaburi 15:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Machoni pake mtu yeyote mwenye kudharaulika hakika amekataliwa,+Lakini yeye anawaheshimu wale wanaomwogopa Yehova.+Ameapa juu ya jambo lililo baya kwake, na bado yeye habadiliki.+ Zaburi 115:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Atawabariki wale wanaomwogopa Yehova,+Wadogo kwa wakubwa.+ Mhubiri 8:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Ijapokuwa huenda mtenda-dhambi akawa anatenda yaliyo mabaya+ mara mia moja na kuendelea kwa muda mrefu anavyopenda, ninajua pia kwamba mambo yatawaendea vyema wale wanaomwogopa Mungu+ wa kweli, kwa sababu walimwogopa.+
4 Machoni pake mtu yeyote mwenye kudharaulika hakika amekataliwa,+Lakini yeye anawaheshimu wale wanaomwogopa Yehova.+Ameapa juu ya jambo lililo baya kwake, na bado yeye habadiliki.+
12 Ijapokuwa huenda mtenda-dhambi akawa anatenda yaliyo mabaya+ mara mia moja na kuendelea kwa muda mrefu anavyopenda, ninajua pia kwamba mambo yatawaendea vyema wale wanaomwogopa Mungu+ wa kweli, kwa sababu walimwogopa.+