Zaburi 115:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Ee Israeli, mtegemeeni Yehova;+Yeye ndiye msaada wao na ngao yao.+ Zaburi 130:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Israeli na aendelee kumngojea Yehova.+Kwa maana kuna fadhili zenye upendo kwa Yehova,+Na ndivyo kulivyo na ukombozi mwingi kwake.+ Yeremia 17:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Amebarikiwa yule mtu hodari anayemtegemea Yehova, na ambaye Yehova amekuwa uhakika wake.+ Mika 7:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Lakini mimi, nitaendelea kumtazamia Yehova.+ Nitaonyesha mtazamo wa kumngojea Mungu wa wokovu wangu.+ Mungu wangu atanisikia.+
7 Israeli na aendelee kumngojea Yehova.+Kwa maana kuna fadhili zenye upendo kwa Yehova,+Na ndivyo kulivyo na ukombozi mwingi kwake.+
7 Lakini mimi, nitaendelea kumtazamia Yehova.+ Nitaonyesha mtazamo wa kumngojea Mungu wa wokovu wangu.+ Mungu wangu atanisikia.+