5 Basi Daudi akatuma wajumbe kwa watu wa Yabesh-gileadi+ na kuwaambia: “Mbarikiwe na Yehova,+ kwa kuwa mmeonyesha hizi fadhili zenye upendo+ kwa bwana wenu, kwa Sauli, kwa maana mlimzika.+
22 Nao wote wakaanza kutoa ushahidi mwema juu yake wakistaajabia maneno yenye kuvutia+ sana yaliyokuwa yakitoka kinywani mwake, na walikuwa wakisema: “Huyu ni mwana wa Yosefu, sivyo?”+