Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 2:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Basi Daudi akatuma wajumbe kwa watu wa Yabesh-gileadi+ na kuwaambia: “Mbarikiwe na Yehova,+ kwa kuwa mmeonyesha hizi fadhili zenye upendo+ kwa bwana wenu, kwa Sauli, kwa maana mlimzika.+

  • 2 Samweli 23:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Na haya ndiyo maneno ya mwisho ya Daudi:+

      “Neno la Daudi mwana wa Yese,+

      Na neno la mwanamume aliyeinuliwa juu,+

      Mtiwa-mafuta+ wa Mungu wa Yakobo,

      Na mwenye kupendeza wa muziki+ wa Israeli.

  • Luka 4:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Nao wote wakaanza kutoa ushahidi mwema juu yake wakistaajabia maneno yenye kuvutia+ sana yaliyokuwa yakitoka kinywani mwake, na walikuwa wakisema: “Huyu ni mwana wa Yosefu, sivyo?”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki