11 Ee Yehova, ukuu+ ni wako na nguvu+ na uzuri+ na utukufu+ na heshima;+ kwa maana kila kitu mbinguni na duniani ni chako.+ Ufalme+ ni wako, Ee Yehova, Wewe unayejiinua kuwa kichwa juu ya wote.+
23 Ndipo akaenda akizunguka+ katika Galilaya+ yote, akifundisha katika masinagogi+ yao na kuhubiri habari njema ya ufalme na kuponya kila namna ya ugonjwa+ na kila namna ya udhaifu katikati ya watu.