Methali 16:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Mtu mwenye hila huendelea kutokeza ugomvi nyakati zote,+ na mchongezi anawatenganisha wale wanaofahamiana.+ Methali 22:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Mfukuze mwenye dhihaka, ili ugomvi utoke na ili mashtaka ya kisheria na ukosefu wa heshima vikome.+ Yakobo 3:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Basi, ulimi ni moto.+ Ulimi ni ulimwengu wa ukosefu wa uadilifu kati ya viungo vyetu, kwa maana huutia doa mwili+ wote na kuuwasha moto mzunguko wa uhai wa asili nao huwashwa moto na Gehena.*
28 Mtu mwenye hila huendelea kutokeza ugomvi nyakati zote,+ na mchongezi anawatenganisha wale wanaofahamiana.+
10 Mfukuze mwenye dhihaka, ili ugomvi utoke na ili mashtaka ya kisheria na ukosefu wa heshima vikome.+
6 Basi, ulimi ni moto.+ Ulimi ni ulimwengu wa ukosefu wa uadilifu kati ya viungo vyetu, kwa maana huutia doa mwili+ wote na kuuwasha moto mzunguko wa uhai wa asili nao huwashwa moto na Gehena.*