Methali 2:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 uwezo wa kufikiri utakutunza,+ utambuzi utakulinda,+ Methali 3:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Mwanangu, zisiondoke machoni pako.+ Linda hekima inayotumika na uwezo wa kufikiri,+ Methali 8:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 “Mimi, hekima, nimefanya makao pamoja na werevu+ nami napata hata ujuzi wa uwezo wa kufikiri.+ Methali 14:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Yule anayekasirika upesi atatenda upumbavu,+ lakini mtu mwenye uwezo wa kufikiri huchukiwa.+