2 Samweli 12:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Ndipo Nathani akamwambia Daudi: “Wewe mwenyewe ndiye yule mwanamume! Yehova Mungu wa Israeli amesema hivi, ‘Mimi nilikutia mafuta+ uwe mfalme juu ya Israeli, nami nilikukomboa+ kutoka mkononi mwa Sauli. Zaburi 141:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mwadilifu akinipiga, zingekuwa fadhili zenye upendo;+Naye akinikaripia, hiyo ingekuwa mafuta juu ya kichwa,+Ambayo kichwa changu hakingetaka kukataa.+Kwa maana bado kungekuwako sala yangu wakati wa misiba yao.+ Methali 27:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Vidonda vinavyosababishwa na mpenzi ni vya uaminifu,+ lakini busu za mtu mwenye chuki zinapatikana kwa maombi ya kusihi.+ Wagalatia 2:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Hata hivyo, Kefa+ alipokuja Antiokia,+ nilimpinga uso kwa uso, kwa sababu alistahili kuhukumiwa hatia.+
7 Ndipo Nathani akamwambia Daudi: “Wewe mwenyewe ndiye yule mwanamume! Yehova Mungu wa Israeli amesema hivi, ‘Mimi nilikutia mafuta+ uwe mfalme juu ya Israeli, nami nilikukomboa+ kutoka mkononi mwa Sauli.
5 Mwadilifu akinipiga, zingekuwa fadhili zenye upendo;+Naye akinikaripia, hiyo ingekuwa mafuta juu ya kichwa,+Ambayo kichwa changu hakingetaka kukataa.+Kwa maana bado kungekuwako sala yangu wakati wa misiba yao.+
6 Vidonda vinavyosababishwa na mpenzi ni vya uaminifu,+ lakini busu za mtu mwenye chuki zinapatikana kwa maombi ya kusihi.+
11 Hata hivyo, Kefa+ alipokuja Antiokia,+ nilimpinga uso kwa uso, kwa sababu alistahili kuhukumiwa hatia.+